Thursday, May 23, 2013

TATU KUBWA ZA LEO


TATU KUBWA ZA LEO
1.       MPATE KUMFAHAMU MWANAMKE

Ni kawaida mwanamke kutekwa kimapenzi na kimawazo na mwanaume, mwanamke ni kiumbe dhaifu bambcho kinapenda kupewa fursa mbalimbali kama vile kupendwa , kubembelezwa na kufanywa dunia nzima ajione yuko peke yake . Mwanamke atatulia kama atahakikishiwas ulinzi katika mapenzi , na mahitaji yake muhimu , sio vizuri kumfanya mwanamke amwonee wivu mnwanamke mwenzake kupitia mwanaume wake lahasha kama kiumbe dhaifu lazima naye aoneshe ubabe wake kwa kutaka kutembea na wanaume wengine

2.       MATENDO SIO MANENO ( WANAUME)
Mwanaume unatakiwa usiwe mtu mwenye maneno mengi , papara na mtu asiyefanikisha kwa vitendo, kwa kukwepa hayo utamfanya mwanamke akubali na muwe nao kwenye uhusiano kwa muda mrefu , mwanaume anatakiwa awe jasiri kama baba wa nyumba kwenye uchumba na hata urafiki nafasi yake itabaki pale pale bila kuingilia uhuru wa mwanamke


3.       MAMBO MATATU (3) MUHIMU KABLA YA TENDO LA NDOA
1.       Mawazo yako yanaongoza ubongo wako , Ni nlazima ujifunze kuongoza mawazo yako ili kufanikisha kazi ya ubongo kwa asilimia 100% kinyume na hayo mwili hautofanya kazi kama unavyotaka . ukiwa na mawazo juu ya matatizo yalikukuta au ukiwa na stress unaweza ukashindwa kufanya tendo la ndoa vizuri
2.       Mambo yaliyopita pia yanamfanya mtu ashindwe kufanya tena tendo la ndoa kwa furaha mfano. Kuwahi kufika kileleni , uume kushindwa kusimama , msongo wa mawazo
. hivyobasi unatakiwa  kujiamini na kuacha yakale kuwa ya kale
3.       Usafi wa mwili pia unachangia kufanya tendo la ndoa kuwa levye hisia na kuridhisha, wote tunatakiwa tuwe tumekata nywele za sehemu za siri , usafi wa nguo za ndani na usafi wa mwili kwa ujumla

No comments: